Rappers,Jay Z na Kanye West wameshitakiwa kwa ku-sample moja ya nyimbo zilizomo kwenye collabo album yao ya,Watch The Throne
Syl Johnson ambaye ni mwanamuziki wa Soul wa Marekani,amefungua mashitaka kwenye mahakama ya Illinois,akidai kuwa Jay Z na Kanye West wame-sample bila ya ridhaa yake,ngoma yake iitwayo Different Strokes iliyotoka mwaka 1967 na wao kutoa ngoma iitwayo The Joy,na mpaka sasa Syl Johnson hajafunguka kama anadai mkwanja kiasi gani na si Jigga au Kanye au wasemaji wao hawajatoa comment zozote mpaka sasa
No comments:
Post a Comment