Tuesday, October 25, 2011

DOCTOR WA MICHAEL JACKSON.....NGOMA NGUMU!

          
                                       DOCTOR CONRAD MURRAY
Kesi inayomkabili Doctor wa Michael Jackson,Conrad Murray ya kusababisha kifo cha MJ,inaenedelea lakini inaelekea jumba kumuangukia baada ya kudaiwa kukosea matibabu aliyoyatoa
Inasemekana Dr Murray amefanya makosa mengi ikiwemo kumpa dawa aina ya Propofol,iliyodaiwa kuwa inanguvu na haitumiki kwa kutibu insomnia

MICHAEL JOSEPH JACKSON (29 AUG,1958 - 25 JUNE,2009)
Ilifunguliwa kuwa ni kweli Michael Jackson aliomba msaada kwa doctor wake,Conrad Murray lakini alitakiwa awe makini kwenye kazi yake na kitendo cha Dr Murray kuchelewa kupiga namba 911 kuomba msaada,anaonekana moja kwa moja kama alikua mzembe ambao huenda ukasababisha kifo cha King of Pop,Michael Joseph Jackson aliyefariki June 25,2009

No comments:

Post a Comment