Tuesday, October 25, 2011

....MAN UNITED YAPATA 'KIPIGO CHA ADABU'.....!

                                      
                                                                                               
                
                                           ....MARIO BALOTELI....NDIYE ALIEANZISHA KIPIGO....
Manchester United imepata 'kipigo kikubwa cha adabu' toka February 1955 kwenye Premier League,ikwa ni miaka 56 tangu mabingwa hao wa kihistoria wa Uingereza kupata kipigo kikubwa hasa kwenye Uwanja wa Old Trafford
Kikosi cha Manchester United chini ya kocha Roberto Mancini imeipa kipigo Manchester United chini ya Sir Alex Ferguson tangu mwaka 1930, baada ya Huddersfield kushinda 6-0 na Newcastle United kushinda 7-4 baada ya siku 4
Mario Balotelli alianza kutupia dakika ya 22 na dk 60,baadaye Sergio Kun-Agüero dk 69 kabla ya Darren Fletcher kurudisha goli moja dk ya 81, na David Silva na Edwin Dzeko kumalizia maumivu.....
....MASHETANI WEKUNDU....MAJI YALIPOZIDI UNGA.....!
....BAADA YA DAKIKA 90....MAN UTD 1 - MAN CITY 6....

No comments:

Post a Comment