Thursday, October 6, 2011

LADY GAGA....USO KWA USO NA RAIS OBAMA....!

                             BARACK HUSSEIN OBAMA - US PRESIDENT



US Prezidaa,Barack Obama alitoa kali baada ya kukutana na Artist Lady Gaga kwenye hafla ya kuchangia fedha ya taasisi ya Human Rights Campaign jijini Washington D.C na alitania kuwa alikua anaogopa kukutana na Msanii mwenye vituko,Lady Gaga
STEFANI JOANNE ANGELINA GERMANOTTA - LADY GAGA
Rais Obama alikuatan an makundi mbali mbali yanayodai haki wakiwemo mashoga na wasagaji,Na baadaye Lady GaGa alitupia kwenye Twitter account kuwa alikua anataka sana kukutana na Barack Obama, baada ya dogo Jamey Rodemeyer toka Williamsville,New York aliyekua ana miaka 14 kujiua baada ya kunyanyapaliwa kwa kua alikua shoga, Lady Gaga alifunguka kuwa nia ya kukutana na Rais Obama ni kushinikiza jamii na kizazi kwa ujumla kuachana na tabia hii,coz yeye peke yake hawezi bali kwa pamoja....

No comments:

Post a Comment