Wednesday, October 12, 2011

beyonceafunguka-mwezi-wa-kujifungua.

                                                    ....BABY MAMA TO BE....BEYONCE....
Artist na Baby Mama to be,Beyonce amefunguka siku ya kumleta duniani mtoto wake wa kwanza na Rapper Jay-Z baada ay miaka 3 na nusu ya ndoa
....JIGGA vs BEY....
Beyonce alifunguka kwenye interview ya TV ya Australia kuwa anategemea kujifungua mwezi February 2012,na kufunguka zaidi yeye na Jay-Z wamekua pamoja kwa miaka 10 na kumshukuru mungu kwa baraka zake na kufunguka kuwa alikua hana haja ya kuharakisha mambo kwani kwa sasa ana miaka 30 na ni wakati wa yeye kufanya atakacho na ni mwenye furaha maishani

No comments:

Post a Comment