Monday, November 7, 2011

wasanii-wa-tht-wakiwa-na-mke-wa-rais.


 Pichani ni msanii Ditto akiwa na mcheza kikapu wa marekani mwenye uraia wa Congo (Mutombo)

Baadhi ya wasanii wanayoiwakilisha bongo wamepata mwaliko wa kuhudhuria kukabidhiwa tunzo ya heshima kwa mama LAURA BUSHI mke wa Rais mstaafu wa USA. Na pia jana walipata nafasi yakuimba kwenye jukwaa moja na msanii ANGELIQUE KIDJO.

Ditto, Fid Q na Barnabas

Wasanii kutoka bongo wakiwa na CATHERINE MCPHEE ni AMERICAN POP IDOL NO 2

 
ANGELQUE KIDJOOOOO KATIKA PICHA YA PAMOJA.

 HAPA TUPO NA MKE WA RAIS MSTAAFU WA AMERICA MAMA LAURA BUSH.

No comments:

Post a Comment