Monday, November 7, 2011

mrs-bobi-wineamkoromea-bebe-cool.

                                                            MR & MRS KYAGULANYI
Mke wa Bebe Cool,Barbie Itungo aka Mrs Bobi Wine amefunguka kuhusu adui wa husband wake,Bebe Cool kuhusiana na harusi pamoja na honeymoon
MOSSES BIDANDI SSALI - BEBE COOL
Bebe Cool alifunguka kuwa Bobi Wine hakuwa na mkwanja wa kutosha wa kwenda honeymoon nchini Marekani,na Mrs Bobi Wine kumtaka Bebe Cool awe mpole coz ali-complain hata wakati inatolewa michango ya harusi toka kwa vigogo wakati kumbe yeye mwenyewe hajatoa hata sumni,lakini harusi hiyo ilifanyika na kudhihirisha ni jinsi gani mchango wa Bobi Wine unatambulika nchini Uganda


                                                  

No comments:

Post a Comment