Monday, November 7, 2011

THE DREAM,CHRISTINA MILIAN....WAMWAGANA RASMI...!

 THE DREAM vs CHRISTINA MILIAN
Baada ya kupita zaidi ya mwaka ya kuripotiwa kupeana talaka kutemana Celebz Atrist,Terius Youngdell Nash aka The Dream na recording artist,actress,dancer na model,Christine Marié Flores aka Christina Milian kwa sasa wametengana rasmi
....SIKU YA HARUSI....
Jaji wa Mahakama ya Fulton County,Ga. alimaliza utata wa makaratasi ya talaka yaliwasilishwa pande hizo,na kufunguka kuwa kwa sasa kila mtu yuko single na kuivunja rasmi ndoa ya the dream na Christina Milian iliyofungwa jijini Las Vegas,September 2009.Na mwezi July 2010,The-Dream alifunguka kuwa yeye na Christina Milian walitengana miezi 3 tu baada ya ndoa yao..!

No comments:

Post a Comment