Friday, September 16, 2011

Salaam za pole kwa waathirika wa ajali ya meli Zanzibar

Moses Hosea anapenda
  kutoa pole kwa watu wote waliwapoteza ndugu,jamaa na marafiki katika ajali ya meli Zanzibar na pia inawapa pole majerui wote walionusurika kwenye ajali hiyo….Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi sote tuliwapenda ila mwenye enzi mungu kawapenda zaidi….

No comments:

Post a Comment