Friday, September 16, 2011

Hatimae Langa kuachana kabisa na matumizi ya madawa yakulevya

 
Msanii mwenye heshima kubwa kwenye muziki wa Hip Hop Tanzania mtu mzima Langa ambae kwa muda mrefu alikua amejikita kwenye matumizi ya madawa ya kulevya (Unga) amewashangaza wasikilizaji kwan  ametimba ndani ya the people's station Clouds FM kwenye kipindi cha XXL akiwa ameweza kutambulisha ujio wake mpya kwenye game na pia kutoa tamko rasmi kua kwasasa amefanikiwa kujitoa kwenye matumizi ya madawa ambayo yalimtesa kwa muda wa miaka zaidi ya mitano na kueleza mipango yake ya kuanzisha rehab yake mwenyewe ambayo itaweza kusaidia vijana ambao wanapitia matatizo ambayo yeye ameyapitia na akaweza kujitoa...................................

No comments:

Post a Comment