
Member wa Zamani wa 'kundi Marehemu' la Destinys Child,Kelly Rowland amefunguka hadharani kuwa yuko tayari kukutana na baba yake baada ya kuchuniana kwa miaka 20 baada dingi yake huo kujaribu kurudi karibu na Kelly Rowland kupitia media
Dingi yake Kelly Rowland Now Lovett mwenye miaka 65,alisepa na kusababisha mtafaruku kwenye familia hasa yeye na mama yake kufukia kutoonana pia na Mama yake Mzazi, Lakini kwa sasa yuko tayari kukutana nae na amemsamehe kwa yote....
No comments:
Post a Comment